English

40 Missed Calls

40 Missed Calls Lyrics By On Rapcha 2023. Best Song 40 Missed Calls Lyrics in Hindi & English Originally Released on YouTube. 40 Missed Calls Song Sung By Popular Singer Rapcha, Music Composed By Rapcha, and Lyrics Of This Song Are Written By Rapcha. 40 Missed Calls Full Song Lyrics By Rapcha. We Offer Amazing Songs Lyrics Only on WoLyrics.com

40 Missed Calls Song By Rapcha Details

Vocal/Singer
Music Comsposer Rapcha
Lyricist Rapcha
YouTube video

40 Missed Calls Lyrics Rapcha

Someone is playing with me
kuna mtu ananichezea
Someone is playing with me
Nashuka kiuchumi ndoa yangu inachafuka
Kuna mchezo unaendelea they are playing with me
Muda mchache kwenye ndoa maumivu yamenizidia
Huu ni mwezi wa tano unaingia
Nkitazama muda ni Saa sita usiku,
baada ya kumtafuta sana
huyu mwenzangu ndo nyumbani anaingia
Niambie umetoka wapi Salma
Hii kesi isidingo si tumetoka kuisolve jana
Isingefika 40 missed calls ka ulikua kwa mama
Nakuambiaga huniheshimu Salma unanidharau sana
story zako mjini naambiwa
Hamna kitu kinaniuma kama habari kwamba mi namegewa
Unanipandisha hasira
navokuambia ukweli afu unanijibu kwa kufoka
kama unaonewa Hebu Leta simu yako, fungua!!!
Salma usinipandishie, icho kiburi chako ntakupasua
Naichukua nianze kuipekua akaja kuikwapua

Akili ikaflip, gun nkanyanyua
Salma Kanijia juu, Nimechoka maisha ya kubaniwa
Bora tu tuachane umezidi kunitishia
Story za malaya wako nikikuambia unajifanya mkali
Kama we kidume fyatua..
Gun shots!!

[Chorus: Vanilla]

Nilikupenda mpaka kufuru
nikawa nawaza jidhuru
ukiwa mbali
Tena nikakupa uhuru
na ukashindwa shukuru
ikawa ndo dosari
Ukaenda ku date na wale
Mi wakuwa nasota we ule
Na mie kukuacha siwezi
Ni bora dunia tuiache aah
[Verse 2: Rapcha]
Fahamu zinarudi akili imeduaa
Salma anateseka chini baada ya risasi nne kumvaa
Hofu kubwa inaniingia nikiangalia
Damu yake inavyonililia chini inatapakaa
Ndo Idea ya kukamatwa ikanijia
Nikajua haitopita muda mapolisi watanitimbia
Ila nguvu zote zishaniishia

Nikiumia kuona safari yetu ya mapenzi ilipokwamia
Dhambi inaanza kunitafuna
Natamani nirudishe muda nyuma niongee na Salma
Najiona mnafki kwa kumwaga damu
kwa makosa ambayo moyoni najua kuwa na mimi nafanya
Itanitesa maisha yangu yote hii memory
Ego zetu zimefanya tumeharibu destiny
Vita na Insecurities hakukuwa na honesty
Na loyalty marafiki wakatunyima privacy
litimie agano
Nahisi Mungu ametuchagua mi na wewe tuwe mfano
Salma, hukustahili hii adhabu ninakiri
Naomba kabla haujafika mbali nisubiri
Gun shot!!
[Vanilla]
Roho yangu inauma
Kosa lako kuzichezea hisia zangu Inamaana hukuona
Nilivyopambana kuziheshimu hisia zako? Aaah
[Chorus]

Nilikupenda mpaka kufuru
nikawa nawaza jidhuru
ukiwa mbali
Tena nikakupa uhuru
na ukashindwa shukuru
ikawa ndo dosari
Ukaenda ku date na wale
Mi wakuwa nasota we ule
Na mie kukuacha siwezi
Ni bora dunia tuiache aah

Check Also
Close
Back to top button