Champion remix
Champion remix Lyrics By kontawa On kontawa English 2022. Best Hip Hop Song Champion remix Lyrics in Hindi & English Originally Released on YouTube. Champion remix Song Sung By Popular Singer kontawa, Music Composed By kontawa, and Lyrics Of This Song Are Written By kontawa. Champion remix Full Song Lyrics By kontawa. We Offer Amazing English Songs Lyrics Only on WoLyrics.com
Champion remix Song kontawa Details
Vocal/Singer | kontawa |
---|---|
Music Comsposer | kontawa |
Lyricist | kontawa |
Champion remix Lyrics kontawa
Aaaah weee I’m the winner
I’m the champion
Aaaah weee I’m the winner
I’m the champion
Yeeeh!
Mi nimezaliwa Mtwara
Huku ndani ndani
Chitoholi na Rendele
Pengine hata bibi yangu
Na babu bado wanajua Rais Nyerere
Huku kwetu machawa wapo
Tena wakikung’ata wanakuwacha na vipele
Na sio machawa wa mjini
Hadi mtoto wa kike wanamuonea gere
Men sikumbuki kama Mungu nishamuomba utajiri
Ila akanipa kwa sababu nastahili
Busara kwangu ni jambo la siri
So usishangae wakinitangaza ubahili
Nimetoboa mbele ya mkubwa na Tale
Kipara na Asake wa Tandale
Hizi sio zama za kale
Muziki huko huru kama kambi ya kambale
Chinga piga muziki tumebaki wawili
Haikuwa riziki Wanangu Cheed na Kili
My sister Anjella wamemshika akili
Waambie Konde Gang ni Jeshi la
Mtu Mbili
Sema Champion
I’m the winner
I’m the champion
Champion Champion
Aaaah weeee
I’m the winner
I’m the champion
Tumeishi na watu wanao amini kwenye mpango wa mungu kuna mkono wa mtu
Tumeshi na watu wanao amini sikukuu ndio siku ya kuchinja kuku
Ooya wee
Tumeishi na watu ambao walitembea na umeme lakini bado nyumbani walikosa luku
Tukaishi na watu wanao amini bahati bahai zote alipangiwa bukuku
Apo mwanzoni waliamini atutopata mafanikio
Walio tugagilia wakauza mafagio
Eeh mtaani kwetu sio
Mtu aliye toboa sana alitoboa sikio
Chumba kimoja analala dada na kaka
Watu awatupi msosi ata ukichacha
Baba chambazi motto anajiuza mtaani
Mama mchawi nyumbani atabaki nani