Swahili

Utaniua

Utaniua Lyrics By On Zuchu 2023. Best , , Song Utaniua Lyrics in Hindi & English Originally Released on YouTube. Utaniua Song Sung By Popular Singer Zuchu, Music Composed By Zuchu, and Lyrics Of This Song Are Written By Zuchu. Utaniua Full Song Lyrics By Zuchu. We Offer Amazing Songs Lyrics Only on WoLyrics.com

Utaniua Details

Vocal/Singer
Music Comsposer Zuchu
Lyricist Zuchu
YouTube video

Utaniua Lyrics Zuchu

Eti lah lah lah lalalala lala lala
Lah lah lah lalalala lala lala
Nna hamu mwenzenu nna hamu kuyahadithia
Oh nna hamu tena nna hamu kuyasimulia
Utanii kama utani, Tulianza kimasiara
Sikudhani sikudhani, Yatafikia mahala
Akiwa hapatikani hapaliki, Sijalala
Kanifanya kitu gani, Mbona imekua mara
Dua La kuku menipata mwewe Wallahi nyinyi ni mtihani
Hata makosa ayafanye yeye mimi ndo naomba samahani
Ona anacheka kama mazuri
Anajua kabisa amenteka kwake sina shughuli
Eti kumwacha naanzaje asa kusepa natoa wapi jeuri
Na kwenye koma kaeka nukta kanitia na kufulii
Oh baby mimiapa taabani (Wewee utaniua niua)
Nimeoza dah Yarrabi sihemi (Wewee utaniua niua)
Ah hizo raha zakoo (Wewee utaniua niua)
Roho yangu mali yako (Wewee utaniua niua)
Tukikosa stuli ni sunna kula kwenye mkeka
Unijue vizuri nkinuna mie ndo nadeka
Usije dhani kiburi uniache nkaja kuchekwa
Baby raha ya shughuli mkunwa awe na hekaheka
Ooh usichokipenda wewe (Aaaaah ahh)
Chunga na mimi usinifanyie (Aah aah)
Mgomba wangu mwenyewe (Ahhh ahh)
Eti ndizi nigombanie (Ahhh)
Nipe penzi nilewe niyumbe nizimie ooh ringa
Kwangu upo mwenyewe kiboko yangu mie ooh vimba
Ona Anacheka kama mazuri
Si anajua kabisa amenteka kwake sina shughuli
Eti kumwacha naanzaje asa kusepa natoa wapi jeuri
Na kwenye koma kaeka nukta kanitia na kufulii
Aah eeh! baby mwenzako mimi taabani (Wewee utaniua niua)
Chagua mwenyewe unizike unisafirishee (Wewee utaniua niua)
Aah! hizo raha zakoo (Wewee utaniua niua)
Roho yangu mali yako (Wewee utaniua niua)

Check Also
Close
Back to top button